MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday, 9 June 2014

NEWS ALERT!!! VIONGOZI KATIKA MIKOA YA KANDA YA ZIWA WASHAURIWA KUIGA KASKAZINI KATIKA UTUNZAJI WA VYANZO VYA MAJI

 Ushauri huo umetolewa baada mwandishi wa mtandao huu kutembelea vyanzo vya maji mkoani Kilimanjaro. ambapo mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Mhandisi Cyprian Luhemeja, amesema vyanzo vinapunguza tatizo la maji kwa kiwango kikubwa.

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Mhandisi Cyprian Luhemeja(aliyefunga tai)akitoa maelezo kwa Madiwani walipotembelea chanzo cha Maji cha Cofee Curing.
Kwa mbali ni mafundi wa MUWSA wakiendelea na shughuli  ya uunganishaji wa bomba kwa ajili ya kupitishia maji katika Chanzo kipya cha maji kilichopo kando ya Mto Karanga

Chanzo cha Maji cha Shiri
Na Mwanaharakati.

No comments: