MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 27 September 2012

MALEMA SITISHIWI NA MAHAKAMA- LEO KUHUTUBIA MGODINI

Julius Malema amewaambia wafuasi wake kuwa katu hatishiki na uamuzi wa mahakama kusema kuwa ana kesi ya kujibu.
Mahakama hii leo ilimwachilia kwa dhamana Malema anayekabiliwa na shtaka la kuhaulisha pesa.
Malema ambaye aliwahutubia wafuasi wake nje ya mahakama, pia anatuhumiwa kwa kutumia nafasi yake ya zamani kama kiongozi wa tawi la vijana la ANC kujitajirisha yeye na washirika wake wa biashara.
Washirika wake wengine wanne nao walikabiliwa na mashtaka sawa na hiyo katika kesi yao iliyosikilizwa hapo jana.

AJIRA KWA WATOTO JAMANI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Limekuwa ni jambo la kawaida sana watu wazima kuwaajiri watoto ambao wanatambulika kuwa chini ya umri wa maiaka 15, kijana huyu ukimwangalia unapata majibu.Baada ya kufanya naye mahojiano, amesema kuwa amehitimu darasa la saba mwaka jana, kutoka kijiji kimoja Bukoba vijijini na saizi naishi na shangazi yake Bukoba mjini.



LEO KATIKA MAGAZETI





Monday 24 September 2012

SOLDIER DISCOVERD ABANDONED BABY ON SIDE OF ROAD IN AFGHANISTAN


A newborn baby girl left abandoned on the side of the road in southern Afghanistan has been discovered by a group of Polish soldiers. The soldiers came upon the baby, who they have named Pola, after Poland, wrapped in a towel on Wednesday while they were checking a route near their Waghez military base for safety, Defense Ministry spokesman Janusz Walczak told The Associated Press.
The group of soldiers was first suspicious when they discovered the baby, as there is a risk of hidden roadside bombs across Afghanistan.
It is still unclear who left baby Pola on the side of the road. The AP reported that there was no one found in a mile radius of where the baby was discovered.
After the troops found her, she was brought to a medical center at their base. The soldiers then bought the girl baby formula, a bottle and a bib.

MAONESHO YA 33 YA UTALII DUNIANI KITAIFA JIJINI MWANZA YAMEANZA KWA KUFUNGULIWA NA MKUU WA MKOA HUO.

-->
Kwenye hotuba yake Mkuu huyo wa mkoa Bwana Evarist Ndikiloameiomba Kamati ya Tume ya Taifa ya Utalii kuipa nafasi tena Mwanza kwa mwaka ujao iwe mwenyeji wa maonyesho kama hayo ili kukomaza vyema katika shughuli za utalii sambamba na kupata fursa ya mwendelezo wa kutangaza vivutio vya utalii na shughuli zake zilizopo mkoani humo.
                               
-->

Mgeni rasmi Mkuu wa mkoa wa Mwanza Evarist Ndikilo akigusa ngoma kama ishara ya ufunguzi wa jadi kwa maonyesho ya kitalii jijini Mwanza, mtindo huu ni tofauti na ule wa ukataji utepe.

-->
Mtemi alitambika pande zote nne kuita neema kwa shughuli za utalii mkoa wa Mwanza.
Ni ngoma za makundi ya kitanzania zikitumbuiza ngoma ya kisukuma.

HII NDO FIESTA IRINGA USIKU KUAMKIA LEO.

Onesho la Serengeti Fiesta limefanyika usiku wa kuamkia leo kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa , ambapo wasanii mbalimbali wamepanda jukwaani kuburudisha wakazi wa mkoa wa Iringa.

Amini akiimba jukwaani katika tamasha hilo
Rachel akimwaga mauno jukwaani ametisha kwa ujumla usiku huu mjini Iringa na mashabiki wamemkubali.
usiku huu.