Kumetolewa taarifa kuhusu muigizaji maarufu wa kijapani Jackie Chan kuwa amefariki dunia kwa ugonjwa wa moyo mjini Kong Kong nchini China.
Taarifa inasema kuwa muigizaji huyo alijizolea umaarufu mkubwa katika filamu zake nyingi zikiwemo za kivita na kuchekesha.
Tutakuletea taarifakamili.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment