. Kuhusu rushwa taasisi za serikali,
. Baadhi wastukia uhalali wamgombea,
. Ashindwa kubainisha sekta alizotaja
kuhusika.
![]() |
Mwenyekiti wa mtaa uswahili Bw Udd Miiluko akituliza wajumbe baada ya kutaka Amani apishe mkutano kwa kuwadanganya. |
Katika mkutano wa kwanza wa waomba
ridhaa ya kugombea ubunge ndani ya CCM manispaa ya Bukoba, wagombea ubunge
wakisimama mbele ya adhara ya kata bilele kuwaomba wanaCCM kumpitisha mmoja
kuwania nafasi ya ubunge kupitia chama hicho, ambapo mmoja wa wagombea asema
serikali imejaa rushwa katika setka nne muhimu hapa nchini.
Mtia nia huyo Dr Anatoly Aman kati ya watia nia nane wa
manispaa ya Bukoba, ameshindwa kuendelea baada ya kuulizwa swali kama alivyosema kuwapo taasisi nne za wala rushwa, mmoja wa wajumbe alitaka azitaje kwa majina ndipo yeye akasema yafuatayo na kuzua taaruki kwa wajumbe wa CCM kata
bilele………......................
Sambamba na hilo, amesema kuwa ataleta
maendeleo ya ajabu kwa kujenga soko la kisasa, huku akisema kuwa ameleta
muwekezaji na ameanza kuweka taa za barabarani katika manispaa ya Bukoba.
Kwa upande wake Mjuni Kataraiya,
aliyewahi kuwa mbunge katika jimbo hili 1995- 2000, amejittetea kuwa hakuuza
jimbo bali alishindwa tu katika uchaguzi, hivyo anawaomba wananchi ili alete
maendeeo kwa kipindi alichokaa bila nafasi hiyo amejifunza mengi.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment