MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 24 September 2012

MAONESHO YA 33 YA UTALII DUNIANI KITAIFA JIJINI MWANZA YAMEANZA KWA KUFUNGULIWA NA MKUU WA MKOA HUO.

-->
Kwenye hotuba yake Mkuu huyo wa mkoa Bwana Evarist Ndikiloameiomba Kamati ya Tume ya Taifa ya Utalii kuipa nafasi tena Mwanza kwa mwaka ujao iwe mwenyeji wa maonyesho kama hayo ili kukomaza vyema katika shughuli za utalii sambamba na kupata fursa ya mwendelezo wa kutangaza vivutio vya utalii na shughuli zake zilizopo mkoani humo.
                               
-->

Mgeni rasmi Mkuu wa mkoa wa Mwanza Evarist Ndikilo akigusa ngoma kama ishara ya ufunguzi wa jadi kwa maonyesho ya kitalii jijini Mwanza, mtindo huu ni tofauti na ule wa ukataji utepe.

-->
Mtemi alitambika pande zote nne kuita neema kwa shughuli za utalii mkoa wa Mwanza.
Ni ngoma za makundi ya kitanzania zikitumbuiza ngoma ya kisukuma.

No comments: