MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday, 4 April 2014

MGOMBEA UBUNGE CHALINZE AKATWA MAPANGA

Mgombea ubunge jimboni Chalinze Bwana RAMADHAN MGAYA kupitia chama cha AFP amelazwa baada ya kujeruhiwa kwa mapanga ambapo amesema kuwa wavamizi walimkuta kwy nyumba moja ya kulala wageni mjini Chalinze.

Amesema kuwa mbali nayeye kujeruhiwa pia kiongozi katika CHADEMA Mwita Waitara naye amejeruhiwa wakati akimsaidia wakati Mgaya akikatwa mikono wakati akipangua mapanga.

Na Mwanaharakati.

No comments: