MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday, 13 May 2015

EAC YALAANI KUPINDULIWA RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZINZA, UCHAGUZI WAHAIRISHWA RAIS KIKWETE ANENA, SIKILIZA HAPA

Taarifa za kupinduliwa rais huyo wa Burundi,zimetolewa katika vyombo mbalimbali vya habari mchana wa leo, huku kiongozi huyo akiwa Dar es salaam Tanzania, kujadilimstakabali wa Rwanda katika mkutano na viongozi wa ngazi za juu wa jumuhiya ya afrika mashariki.

Inasemekana mwenyekiti wa Jumuhiya ya EAC na rais wa Tanzania Dr Jakaya Kikwete, amelaani kitendo hicho huku taarifa rasmi kutolewa baadaye hiileo.

Makamu wa rais wa Burundi, amekanusha taarifa ya kupinduliwa kwa Nkurunzinza huku wananchi na baadhi ya wananjeshi, wakishangilia hatua yao kuifikia ikulu ya nchi hiyo na Meja Jenerali Godifroid kutangaza kupitia redio ya nchi hiyo kushikilia mamlaka na kusema kuwa ameunda kamati ya kushughulia hali ya nchi hiyo.
Na Mwanaharakati.

No comments: