MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 22 September 2011

Mgeni rasmi katika mechi ya KAGERA SUKARI na JKT OLJORO ambapo kagera wametandikwa 2-1

Kagera sugar katika mechi hiyo ilitandikwa mambao mawili yote yakiingizwa kimiani na AMIR OMAR  katika DK 4 na bao la pili DK-25.

Bao la kufuta machozi kwa KAGERA SUGAR lilipatikana kwa njia ya penati baada ya beki yake kumfanyia madhambi mchezaji wa kagera sugar katika DK 54 iliyofungwa na TEMISTOCRES FELIX (MNYAMA).

Mechi hiyo imepigwa tarehe 22/09/2011.

No comments: