MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 16 February 2012

Kwanza hizi ni pikipiki kwa ajili ya kubebea mama wajawazito lakini kwa sasa hazijatumika na tayari ziko katika hali mbaya, yaani zimeanza kuhujumiwa kabla ya kazi.

 Hii ndiyo sura ya mbele ya Hospitali hii ya mkoa ikionekana safi kimazingira, lakini ndani kwenye WARD za wagonjwa kunatisha make mashuka ni machafu hasa katika vyumba vya waliojeruhiwa.

 Hiki juu ni kipande cha Shuka kimejaa dammu na nilipomhoji mama anaye muuguza mwanaye amesema damu hizo zina siku ya pili katika mashuka hayo, na hapa chini ni shuka Chakavu kwani limejaa matundu saidia wagonjwa hawa jamani.
 Mgonjwa huyu hapa chini amekaa hospitali zaidi ya wiki akisubiri upasuaji wa jicho baada ya kutoka chumba cha upasuaji amelazwa katika mashuka machafu yenye Damu.

No comments: