MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 26 May 2012

MWANAMUZIKI CONGO DRC AFARIKI DUNIA


  


Alipata umaarufu wakati alipokuwa akiimba na Hayati Luwambo Makiadi na Lutumba Simaro . Wimbo wake wa MOKOLO NA KOFUFA (Siku nitakayo fariki) ndio maarufu sana katika eneo la Afrika Mashariki na Kati na uliompandisha kwenye jukwaa la waimbaji bora wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.

No comments: