Picha chini ikionyesha kikundi cha ngoma cha arusha
kikitumbuiza katika hafla ya chakula cha usiku kilichoandaliwa na wizara ya
maliasili na utalii(picha na mahmoud ahmad)
Katika
kongamano hilo, ambalo limehusisha Katibu Mkuu wa Shirika la Utalii
Duniani –UN WTO- pamoja na Mawaziri wenye dhamana ya Mazingira na Utalii
kutoka nchi mbali mbali, Waziri KAGASHEKI amesema asilimia 24
ya Wizara ya Maliasili imetengwa kwa ajili ya kuendeleza uhifadhi.
Amesema TANZANIA imejifunza na kufaidika na mambo mengi, kutokana na kuwa Mwanachama wa UN WTO, tangu ijiunge na Shirikisho hilo mwaka 1975.
Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa Shirika la Utalii Duniani, Dk TALEB RIFAI, ameziasa nchi za Afrika kuendeleza hifadhi, ili ziwe endelevu kuchangia katika kukuza Utalii bila kuwa na madhara.
Amesema TANZANIA imejifunza na kufaidika na mambo mengi, kutokana na kuwa Mwanachama wa UN WTO, tangu ijiunge na Shirikisho hilo mwaka 1975.
Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa Shirika la Utalii Duniani, Dk TALEB RIFAI, ameziasa nchi za Afrika kuendeleza hifadhi, ili ziwe endelevu kuchangia katika kukuza Utalii bila kuwa na madhara.
No comments:
Post a Comment