MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday, 23 October 2012

WAKATI UN IKISHAURI UTUNZAJI MAZINGIRA, KAGERA WAMEJIPANGA TAYARI

Wakala wa misitu Kanda ya ziwa wamezungumzia upandaji miti, ufanyaji wa bisahara ya mbao pamoja na matumizi sahihi ya majiko sanifu ili kutunza mazingira.  Wamesema hayo kupitia muandaaji wa vipindivya mazingira redioni Kasibante Nicolaus Mac, wakisisitiza wananchi kufuata ushauri wanaoutoa kupitia vipindi hivyo, huku wakiwataka kutoa maoni na kuuliza maswali kupitia vipindi vinavyorushwa kila ijumaa saa tatu na nusu usiku na marudio yake saa moja kamili jioni kila jumapili.


-->
Mtaalamu wa Mazingira na Nishati wa UNDP Dkt. Amani Ngusaro (wa pili kulia) aliyemwakilisha mgeni rasni Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini akitoa nasaha zake katika wiki ya maamdhisho ya Umoja wa Mataifa ambapo Umoja huo ulikwenda kufanya kampeni ya kuhimiza wananchi kutunza mazingira katika Kata ya Pugu.
-->
Afisa Mtendaji wa Kata ya Pugu Bw. Justin Nyangwe akizungumza wakati wa kumkaribisha mgeni rasmi ambapo ametoa shukrani kwa Umoja wa Mataifa kwa kuwapa umuhimu wakazi wa Pugu kwa kuchukua hatua ya kushirikiana nao katika suala zima la kuboresha mazingira na wanaahidi kuwa mfano wa kuigwa katika utunzaji wa mazingira
MWANA HARAKATI

No comments: