MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday 12 March 2013

SAMAHANI WATAZAMAJI KWA PICHA HIZI LAKINI NDIYO UKWELI, BAADA YA MAJAMBAZI 7 KUAWA NA POLISI MKOANI KAGERA

Amesema kuwa tukio hilo limetokea,  baada ya wasamaria wema kuitaarifu polisi kuhusu njama za majambazi hao kuuvamia mgodi wa Tulawaka.

Amesema kuwa polisi waliweka mtego, na katika majibizano ya risasi, polisi imefanikiwa kuwaua majambazi saba, ambapo watano kati yao, wanasadikiwa kuwa ni raia wa BURUNDI.

Amesema kuwa miili ya majambazi hayo imehifadhiwa katika hoospitali ya wilaya ya Biharamulo, na amewataka wananchi kufika katika hospitali hiyo kuwatambua majambazi hayo.
Kamanda KALANGI amesema polisi pia imefanikiwa kupata silaha mbili za kivita aina ya SMG, risasi 156, magazine tano na mabomu matatu ya kutupwa kwa mkono.

MWANA HARAKATI

No comments: