MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 1 August 2013

MKUU WA MKOA WA KAGERA, ATANGAZA DAU KWA WATAKAOTOA TAARIFA ZA WAHAMIAJI HARAMU

 Kanali Massawe, ametangaza dau hilo, alipokuwa akitoa tamko la utekelezaji wa maagizo ya rais wa Tanzania Jakaya Kikwete, aliyeagiza uongozi wa mkoa kutekeleza masuala kadhaa yaliyoonekana kuzembewa katika utekelezaji, hivyo kuagiza kutekelezwa haraka iwezekanavyo na rais apewe taarifa.

 Miongoni mwa maagizo hayo ni pamoja na linalohusu wahamiaji haramu, rais alipotoa wiki2 kwa wanomiliki silaha, wahamiaji haramu na majambazi kuzisalimisha silaha, kuondoka na kuacha kazi ya ujambazi akisitiza kuwa baada ya siku hizo 14, serikali itafanya operation kali katika mikoa mitatu inayoongoza kwa mambo hayo, ambayo aliitaja kuwa Geita, Kagera na Kigoma.
Katika agizo la rais, mkuu wa mkoa amesema mtu atakayefanikisha taarifa hizo atapewa laki moja, ambapo kuhusu viwanja 800 kwa wananchi waliolipia mwaka 2000, wapewe maramoja ndani wiki 1.
MWANA HARAKATI

No comments: