MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday 20 October 2013

JULIUS NYAISANGA AFARIKI DUNIA

 
Mpaka mauti yanamfika, Marehemu Nyaisangah alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Abood Media iliyopo mkoani Morogoro.
Marehemu aliwahi pia kufanya kazi katika kituo cha Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na katika Kituo cha Redio One ambapo alikuwa Mkurugenzi.
Mpaka sasa chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika japo marehemu alikuwa akiugua kwa muda mrefu.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN!  Taarifa zaidi zitawajia baadaye.
Marehemu Julius Nyaisangah (katikati) akiwa katika pozi na Meneja Mkuu wa Global Publishers Abdallah Mrisho katika semina ya wanahabari Bagamoyo mwaka 2011.
MWANA HARAKATI

No comments: