MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 31 March 2014

KAMATI ZA BUNGE ZIMEANZA KUJADILI VIPENGELE VYA RASIMU

Akiahilisha bunge hilo maalumu ili wajumbe waamie kweye kamati, mwenye wake SAMUEL SITTA, amesema kuwa watanzania wasubiri kupata katiba mpya hivyo wajumbe wasifanye mzaha katika suala hilo muhimu. Bunge limealishwa hadi ijumaa watakaporejea kupata taarifa za kilichopitishwa kwenye kamati hizo.


Kutoka kushoto ni Kingunge Ngombale mwilu,, waziri mkuu Pinda, James Mbatia mwenyekiti wa NCCR, na mwenyekiti wa CHADEMA na UKAWA Freeman Mbowe.

Na Mwanaharakati.

No comments: