Akizungumza
na mtandao huu, afisa elimu wa mkoa wa Dodoma mwalimu Juma Kaponda amesema
serikali inaendelea kutoa fedha katika shule mbalimbali lakini bado
kunachangamoto kubwa ya vyumba vya madarasa pamoja na madawati.
Aidha
mwalimu Kaponda amesema serikali kwa kupitia mpango wa matokeo makubwa
sasa(BRN) imeanza kuleta maendeleo mazuri japo bado kuna changamoto za
upungufu wa madawati ambapo amewataka wananchi kushirikiana na serikali ili
kuondo changamoto hizo.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment