Jeneza lenye mwili wa marehemu Amina
Ngaluma ukipokelewa uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kutokea
nchini Thailand.
|
Amina Ngaluma amezikwa
huko Machimbo, Mnarani jijini Dar, lakini maswali mengi yameibuka kuhusu
mazingira ya kifo chake.
Kwani inadaiwa
marehemu alifariki kutokana na maumivu makali ya kichwa huku akiwa na uvimbe
kichwani japo ndugu wa marehemu na mumewe wakidai kuwa Amina hakuwahi kuwaambia
kuwa anasumbuliwa na matatizo hayo!
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment