![]() |
Ni Bi Saada pichani alipopiga picha na mwandishi habari Mac Ngaiza kulia. |
![]() |
Jumuiya ya wanahabari Kasibante fm redio katika picha Bi Saada |
![]() |
Msaada wa fedha alizopewa na jumuiya ka Kasibante fm kushirikiana na kampuni ya Utalii Kiroyera. |
![]() |
Kitabu cha wanaoleta misaada na kuorodheshwa |
![]() |
Baadhi ya watoto wanaolelewa na Bi Saada walipopiga picha na waandishi habari. |
![]() |
Mlezi msaidi wa Bi Saada Pichani |
KANDAYAZIWA BLOG, inakuomba mdau popote ulipo, tumsaidie Bi Saada ili tusaidie kundi kubwa la watoto anaowalea jamani, kwani akiondoka yeye watoto wote wataendelea kuteseka na kituo hakitaweza kuendelea.
Kituo kipo Bukoba mjini Kata Kashai kilomita2 kutoka katikati ya mji.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment