Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la
mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya
Karume jijini Dar es salaam ambalo limeteketea usiku wa kuamkia leo.
Taarifa zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo.
Taarifa zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment