
Katika kujikwamua wenyewe, wakulima wameeleza kuwa wamekuwa wakulima na wafanyabiashara kwa wakati mmoja, kwani baada ya kulima wengine wanasindika mazao yao kwa kutengeneza vyakula kama CHICHILI, UNGA, MIKATE, KEKI na vinywaji kama JUICE, na WINE, ambavyo vyote vinatokana na Ndizi, Mhogo, Karanga, Viazi na matunda.
![]() |
Mwandishi Mac Ngaiza, katika banda la MAYAWA akipata maelekezo ya matumizi ya unga wa ndizi na Vanila. |
![]() |
Mwenyekiti wa kampuni ya Ndizis Bi. ADELINA akizungumza na mwanahabari jinsi wanavyosaidia wananchi kusindika mazao yao ili yasiozee shambani kwa wanaweza kusindika. |
![]() |
Juu ni ndizi aina ya Nshakala na chini Mhogo aina ya Lushura inayolimwa wilayani Kyerwa. |
![]() |
Baadhi ya vyakula vilivyosindikwa Chichili na Keki. |
No comments:
Post a Comment