Ni baada ya waziri mkuu kuwasisitiza wakuu wa mikoa, wilaya, mameya, wakurugenzi wenyeviti wa halmashauri kuacha uzembe katika usimamizi wa miradi ya ujenzi, baada ya kufungua mkutano wa wiki moja mjini Arusha ukiwahusisha viongozi wa mikoa na halmashauri kote nchini. |
| Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Barabara wa Serikali za Mitaa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye hoteli ya Ngurdoti, Arusha August 18, 2014. |
Nicolaus Mac (None Association Movement) KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
Tuesday, 19 August 2014
WAKANDARASI WAPYA WAANZA NA CHANGAMOTO ZA HALMASHAURI NCHINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment