Ni mikate kutoka Kigoma Bakerry, dawa za binadamu na bidhaa mbalimbali zilizoisha muda wake.![]() |
| Mikate tani moja na nusu katika dampo la Businde mkoani Kigoma baada ya msako mkali wa mamlaka ya chakula na dawa TFDA. |
![]() |
| Hizi ni bidhaa mbalimbali za madukani baada ya kukamatwa kwa kuisha muda wake wa matumizi tayari kwa kuchomwa moto. |
![]() |
|
Dawa za binadamu karibu tani mbili
zilizokusanywa Kigoma mjini nazo zateketezwa.
|



No comments:
Post a Comment