MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 14 September 2014

NEWS ALERT!!!WACHIMBAJI WADOGO GEITA WAPATA AJIRA GEITA.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Stiven Masele akizungumza neno na Mkurugenzi wa Mgodi wa Geita Gold Mine Michael Anen jana. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Geita Omari Manzie Mangochie.

Naibu Waziri wa Nishati na madini Steven Masele akikata utepe wakati akifungua mgodi wa wachimbaji wadogo wadogo ulioko katika kijiji cha Lwamgasa wilayani Geita Mkoani hapa jana

Naibu Waziri wa Nishati na Madini akifungua ubao unaonyesha kufunguliwa kwa mgodi wa wachimbaji wadogo wadogo katika kijiji cha Rwamgasa. Picha Zote na Valence Robert – Geita
Na Mwanaharakati.

No comments: