MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday, 17 October 2014

NEWS ALERT!!! MAPAMBANO KISIASA, MBUNGE AANZA KUTUMIA HELICOPTA BUKOBA

 Ziara ya mbunge huyo, imeanza siku chache baada ya mlezi wa CCM mkoani Kagera na aliyekuwa mbunge wa Bukoba vijijini msimu uliopita Nazir Kalamagi, kupita na kufanya ziara ya jimbno humo, huku akichangia ujenzi wa maabara katika shule zote za jimbo hilo.
Jimbo la Bukoba vijijini, lina kata zaidi ya 40, ambapo miundombinu ya jimbo hilo ni mibovu hasa barabara, ambapo kuna ugumu wa kuzunguka kata zote bila kukumbana na vikwazo, huku wananchi wakikosa huduma za matibabu, jambo ambalo linachangiwa na uhaba wa vituo vya afya.
Na Mwanaharakati.

No comments: