MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 12 October 2014

PICHA MBALIMBALI ZA MABOMU YALIYOTIKISA TABATA JIJINI DAR ES SALAAM

“Majuzi askari wa jiji walikwenda maeneo ya Segerea kwa ajili ya kufanya oparesheni ya kuwaondoa wafanya biashara kandokando mwa barabara, wananchi wakaanza kuwapiga mawe na kufanya zoezi hilo kuwa gumu. Ndiyo maana leo baada ya kuanza kupigwa mawe, nao wakaamua kutumia mabomu ya machozi katika kuwatawanya.’’







Gari la polisi likielekea eneo la tukio kuongeza nguvu.ASKARI wa jiji jana walilazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya watu wanaofanya biashara kandokando mwa barabara ‘Machinga’ katika maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam.
 

Na Mwanaharakati.

No comments: