MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 30 October 2014

TAZAMA PICHA ZA KUSIKITISHA AJALI ILIYOUA WATU ARUSHA

 
  Akiongea na mwandishi wetu, mmoja ya mashahidi aliyefika eneo la tukio na hospitali ya Mount Meru, amesema ajali ilitokea majira ya saa kumi jioni huko maeneo ya Sadec-Darajani –Tengeru jana  iliyohusisha gari la abiria aina ya Hiace linalobeba watu toka Usa-River kwenda Arusha mjini na Lori la mafuta.
Aliongeza kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva wa hiace (gari la abiria) iliyokuwa ikijaribu kupita magari mengine ndiyo akakutana uso kwa uso na lori hilo.




Na Mwanaharakati.

No comments: