MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 22 December 2014

BREAKING NEWS!!! MTUHUMIWA WA EPA JOHNSON LUKAZA ASHINDA KESI, AACHILIWA HURU




Hukumu hiyo Imetolewa na Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa aliyekuwa alisaidia na Hakimu Mkazi Pamela Mazengo.

Lukazaambaye pia ni Mjumbe wa Baraza la Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB) alikuwa akitetewa na Wakili maarufu nchini Alex Mgongolwa aliyekuwa akisaidiwana na Wakili Alex Mshumbusi.

Akisoma hukumu hiyo Jaji Mkasimogwa alisema Kesi hiyo ya Mwaka 2008 , Mahakama  imesikiliza ushahidi wa pande zote mbili Na kupitia vielelezo
mbalimbali, Mahakama yake Imefikia uamuzi wa kuwaachiria huru
washitakiwa wote Wawili kwasababu upande wa jamhuri umeshindwa kuleta
ushahidi thabiti ambao ungeishawishi Mahakama hiyo iwakute na hatia
washitakiwa Hao.


Na Mwanaharakati.

No comments: