| Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai akitoa taarifa kwa Wajumbe wa
Mkutano wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ya (NEC)
katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja kiako hicho
kilifanyika leo chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali
Mohamed Shein(katikati) na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar pia Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi (kushoto), [Picha na
Ikulu.] |
No comments:
Post a Comment