Nicolaus Mac (None Association Movement) KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
Thursday, 12 February 2015
SHAADA BANDIA KUCHUNGUZWA, SOMA HAPA
Uchunguzi huo unataka kujua ni mazingira gani yaliyosababisha wanafunzi 600 kati ya wote waliofuzu zaidi ya elfu 11 kuwekwa katika orodha ya waliohitimu bila ya kufikisha viwango vya kuwafanya kufuzu.
Chuo kikuu cha Makerere kinaorodheshwa kama taasisi ya elimu ya saba bora katika kanda za Afrika mashariki na kati na afrika magharibi.
Na madai iwapo madai hayo ni ya kweli, yanaweza kuishusha hadhi yake.
Na Mwanaharakati.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment