MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 19 November 2015

KAULI YA WAZIRI MKUU BAADA YA KUPIGIWA KURA

Anatarajiwa kuhapishwa kesho saa4 katika ofisi ndogo za ikulu CHAMWINO mjini Dodoma, ambapo mchakato umekamilika kuhusu kuidhinishwa kwake baada ya wabunge kumpitisha kwa asilimia 73.5% ya kura za wabunge wote walioshiriki.
Na Mwanaharakati.

No comments: