MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 19 September 2011

Hawa ni baadhi ya waandishi habari mkoani kagera wakitokea uwanja wa ndege wa Bukoba huku wakingali wakionesha maskitiko yao baada ya kukosa nafasi ya kuzungumza na mkuu mpya wa mkoa kuhusu mikakati atakayoanza nayo.

Imeshakuwa deturi kuwa anapowasili kiongozi kuanza kazi rasmi inakuwa ni vizuri kuapata kutoa mikakati yake anapowasili eneo la kazi lakini imekuwa tofauti kwa mkuu huyo mpya wa mkoa wa kagera kutozungumzia mikakati aliyokuja nayo ukizingatia amekuwa akifanya mambo makubwa wilayani karagwe wakti kimkoa bado yameendelea kuleta tabu watu walitaka kujua yuko tayari kuyakomalia?

Jmabo moja kubwa ni pale alipopunguza kiasi kikubwa cha kuwapatia mimba wanafunzi lakini pia aliwahi kusema mwenyewe kwamba atatafuta ufumbuzi katika suala la sukari.

No comments: