MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 11 November 2011

ABIRIA WAKIRUDI KWENYE BASI BAADA YA KUCHIMBA DAWA MENEO YA CHATO.

Kuchimba dawa unapokuwa unasafiri katika basi kwa masafa marefu ni muhimu kwa ajili ya afya ya mwanadamu kwani safari zingine ni ndefu kutoka dar hadi bukoba au bukoba-dar, lakini ni kwamba uchimbaji huo wa dwa hauzingatii usafi wa mazingira.

Wanaposimamisha magari kwa ajili ya uchimbaji huo wa dawa pia umwaga uchafu wote unaokuwa ndani ya gari, si vibaya kufanya hivyo lakini jamani kumekuwa na kumwaga taka hizo maeneo yasiyofaa kama maeneo ya mitaro ya kusafisha maji ambayo inatakiwa kuwa safi muda wote

No comments: