MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 13 February 2012

 Ni kundi la waamuzi waliochezesha mechi kati ya Kagera Sugar na Mtibwa Sugar kutoka Morogoro.

 Baadhi ya wachezaji wa Kagera Sugar wakitoka uwanjani Kaitaba vichwa chini, baada ya kulazwa Bao 2-0, ndoto zao kupanda Ligi kuu Tanzania Bara zinafutika kwani mechi iliyopita katika uwanja wao wa nyumbani walipigwa bao 1-0 na JKT Ruvu.

No comments: