MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 3 March 2012

 Miongoni mwa watangazaji jembe wa michezo katika Kasibante Redio Bukoba Abdulrazak kulia aliyeshika kipande cha keki ametimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa leo.
 Hapa anamlisha mkurugenzi wa Redio Kasibante fm Bwana ABDUL KAGASHEKI.
 Kama kawaida Abdulrazaki akimlisha keki mmliki wa Blog hii Nicolaus Mac Ngaiza-mwanaharakati.
 Huyu ni Meneja utawala Kasibante Fm Redio Abela Kamala akilishwa keki.
Emmanuel Mbaule meneja vipindi Kasibante Redio akilishwa keki na mtoto aliyezaliwa leo, katika ofisi za kasibante Redio.

No comments: