MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 12 March 2012

Ni katika mkutano wake na wazee wa Dar es salaam, katika ukumbi wa Diamond Jubilee,
Rais amesema amesikitika kuwaona wanaharakati wakishinikiza Madaktari kuendelea kugoma badala ya kuwahamasisha kurejea ili kunusuru maisha ya watu.

Pia amefafanua Sekta zisizotakiwa kugoma ikiwemo Idara ya maji, Tanesco na Kitengo cha wauguzi, kwa kusema kuwa hiyo ni kwa mujibu wa sheria za Tanzania.

No comments: