MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 31 March 2012

 
 Katika tuzo hizo aliyeibuka mshindi wa jumla ni Mhariri wa gazeti la Mwananchi, NEVILLE MEENA.
Tuzo hizo uandaliwa na EJAT na kushirikisha waandishi habari wa vyombo mbalimbali nchini na imeanza kutolewa miaka mitatu iliyopita.
Mkoani Kagera mwandishi aliyepokea tuzo hiyo ni Audax Mtiganzi ambapo wandishi waliofanikiwa kuingia kwenye kinyag'anyiro ni Joasi Kaijage wa Gazeti la CITIZEN, Lilian Lugakingira kutoka Mwananchi, Audax Mtiganzi wa Mtanzania pamoja na Angela Sebabstian kutoka Gazeti la Uhuru.

No comments: