MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 1 April 2012

ARUMERU UPIGAJI KURA UMEENDELE, MGOMBEA CHADEMA AKILAUMU MAWAKALA.

Vituo vimefunguliwa salama asubuhi japo kwa muda huo watu hawakujitokeza kwa wingi lakini muda wa saa nane mchana wamejitokeza na foleni ni ndefu.

Mapema mchambuzi wa masuala ya kisiasa SALUM KIBAMBA alisema ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kuwa makini kurekebisha daftari la kudumu.

Jumla ya vituo 327 vinatumika lakini baadhi ya watu hawajui kusoma nakuandika katika vituo vya
 Ngwaranga, Poli na Maji ya chai zoezi lilichelewa ndiyo maana kuna msongamano.

Mgombea  wa CHADEMA amelalamikia mawakala wa kata ya Kilinga kuwa wameenda kinyume.
.


No comments: