MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday 29 April 2012

BAR YATIA KINYAA KWA NZI

Ni baa ya pombe ambayo kwa kiasi kikubwa imeonesha kutojali afya za watu kutokana na kujaa nzi kila kona kutokana na mazingira yake kuwa na majani na takataka.  Juu ya meza ni kinywaji cha mtu kimezungukwa na nzi nje ya uwanja wa mpira wa miguu Kaitaba mjini Bukoba.

No comments: