MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 14 April 2012

KAGERA SUGAR YATOSHANA NGUVU NA AFRICAN LYON, HUKU MMILIKI WA AFRICAN LYON AKIWALAUMU WAAMUZI;

 Timu ya African Lyon ilitangulia kupata bao kupitia kwa   na baadaye David Charles kusawazisha kwa Penat baada ya Paul Ngwai kuangushwa kwenye 18.

 Picha juu ni wachezaji wa Kagera Sugar wakitoka uwanjani kwa masikitiko baada ya kutoka sare na wachezaji wa African Lyon ambao nao hapa chini wanaonekana kusikitika sare hiyo.

 Baada ya mchezo huo mmiliki wa African Lyon amelaumu waamuzi na kudai kuwa huo ni ubabaishaji huku akishindwa kutanabaisha tatizo analolalamikia lakini amedai TFF ina fanya upuuzi kwa kuwatumia waamuzi wasiyo na viwango.
 Ndani ya mchezo huo mwamuzi ametoa kadi 3 za njano na nyekundu 1 kwa wachezaji wa African Lyon.
Uwanjani Kaitaba jumatato wiki ijayo kutakuwa na mtanange mwingine kati ya Kagera suga na Yanga Afrika.

No comments: