MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 13 April 2012

RAIS KIKWETE AZINDUA TUME YA KURATIBU MAONI YA KATIBA MPYA;

Katika uzinduzi uliofanyika Ikulu ya Dar es salaam, rais Kikwete amewaapisha pia wajumbe 30 wa tume hiyo wakiongozwa na waziri mkuu wa mstaafu JOFEPH SINDE WALIOBA.

Amewataadharisha kuhakikisha wanaongoza tume hiyo vizuri na kujitahidi kutokwama pindi wakienda katika baadhi ya maeneo na kukuta gharama za malazi ziko juu.

Tume hiyo itafanya kazi wa kuratibu maoni kuhusu mabadiliko ya katiba kwa kupatikana mpya au kufanya marekebisho ya hii iliyopo tangu 1977.

No comments: