MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 7 April 2012

-STEVEN KANUMBA - “MWAKA HUU SITOSEMA KITU,NI KAZI TU”

 
Soko limetanuka kiasi kwamba tunatambulika kimataifa. Pia hivi sasa makampuni ya kusambaza kazi zetu yameongezea ikiwemo na pesa kwa kiasi fulani tofauti na hapo mwanzo.Safari bado ni ndefu lakini angalau inatia moyo.
 
Nimejifunza mengi lakini zaidi nimejua zaidi juu ya thamani kama msanii.
Kazi ambazo mimi naona zitoa vituko ni kama hiyo Uncle JJ, Je wewe? Kumbuka hatuko naye tena.

No comments: