
Hili ni daraja la mto kanoni maeneo ya Kasarani mjini Bukoba, picha hii imechukuliwa wakati mvua zinaendelea wasiwasi wangu ni kwamba baada ya mvua kukatika au zikiendelea maji yatavuka daraja na hapa huwa kunatokea ajali za watu kutumbukia mtoni.
Nicolaus Mac (None Association Movement) KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
No comments:
Post a Comment