MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday, 8 May 2012

WATOTO YATIMA WAOMBA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIFUNZIA:

Akiongea na muandishi wa habari wa kituo hiki kwa niaba ya wanafuzi wengine kituoni hapo, mtoto AGNES  JACKOB amesema kuwa wanajifunza ushonaji, kilimo na uselemara lakini wanakumbana na uhaba wa vitendea kazi kama cheleani, mashine za kulandia mbao na majembe kutokana na utaalamau wanaoendelea kuupata.
Mwanafunzi huyo ameongeza kuwa wanafrahishwa na mafunzo wanayoyapata na kuongeza kuwa wakitoka wazisaidia familia zao hata kwa kutoa mafunzo wanayoyapata.


 Hizi ni baadhi ya kazi za watoto hao wamazofanya kwenye mazoezi yao kama unavyoona meza hapa chini.
 Chini ni shamba la mfano la kilimo cha viazi ambalo limeandaliwa na wanafunzi wenyewe.
Kituo cha kusaidia watoto yatima na wanafunzi kutoka kwenye familia duni cha SAIDIA YATIMA NA WATEGEMEZI MISENYI kilichopo kijijini MUSHASHA, kina jumla ya wanafunzi 42 wakiwemo wakiume 23 na wa kike 21 kutoka halmashauri mbalimbali mkoani Kagera.

No comments: