MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday, 8 May 2012

MKUTANO WA UZINDUZI WA KILIMO CHA VIAZI LISHE UMHITIMISHWA MKOANI KAGERA;

 Bwana Wiliam akimfafanulia jambo mtaalam kutoka SIDO wakti wa kuhitimisha uzinduzi wa mradi wa viazi lishe katika kituo cha mradi wa jamii kuhifadhi mazao MUSHASHA.
 Mzee Kabyemera kutoka KOLPING TANZANIA, amehitimisha kwa kuhamasisha wadau wa kilimo kutumia mbinu mbadala walizopata kwenye mkutano huo ili waendeleze kilimo na kuleta maendeleo Kagera.
 Hizi ni mbegu za viazi lishe ambazo zimetolewa kwa kikundi cha MVUMI ili kufanya mashamba ya mfano, na picha chini ni Bi MAGARET McEWAN kutoka Nairobi akiwakabidhi wanafunzi hao mbegu za mfano.
 Chini ni shmaba la wanafunzi hao wa MUSHASHA japo kutokana na mvua za mkoani Kagera yamejaa maji lakini wataalam wanasema ni maji ya muda mfupi hivyo viazi vitastawi kawaida.

No comments: