MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 30 June 2012

ASKARI ANAPOMKAMATA RAIA BILA MKOSA WANANCHI WAKABAKI WANALALAMIKA BILA KUSAIDIA

 Kijana mmoja katika manispaa ya Bukoba amekamatwa na askari wa usalama barabarani baada ya kuonekana kama amelewa jambo ambalo limewasikitisha jamaa zake walioshuhudia hali hiyo, lakini kinachowauzunisha wananchi zaidi ni kumkwida kijana huyo kitendo wanachodai ni unyanyasaji.
 Hapa kuna maswali kuhusu kutii sheria bila shuruti kwamba kweli inawezekana?

No comments: