MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 26 July 2012

JANA SIKU YA MASHUJAA TANZANIA, MIKOA MBALIMBALI IMEHADHIMISHA, KAGERA JE ILIFANYIKA WAPI?

Nimefuatilia mikoa mbalimbali na kubaini kuwa mashujaa wamekumbukwa walio hai na ambao wametangulia mbele ya haki, lakini Kagera sikuona wala kusikia ni wapi siku hiyo imehadhimishwa je kwanini? au hakuna mashujaa huko? kumbuka hata vita ya Uganda na Kagera.


No comments: