MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday, 16 July 2012

MAYAI FEKI YASADIKIWA KUINGIA NCHINI

 Hawa ni kuku wa kizungu ambao wanafugwa katika manispaa ya Bukoba, na kinachosemekana ni kwamba bada ya kuonekana biashara ya mayi inakwenda kwa kasi wajasriamali feki wamejitokeza na kuingiza mayai nchini kupitia boda ya Mutukura jambo ambalo bado linafanyiwa uchunguzi na mwana Libeneke lakini kama nawe umekwishabaini hali hiyo tutonye kupitia mawasiliano hapo juu.
 Inasemekana mayai hayo yanakuwa yametengenezwa kiwandani wala hayatokana na kuku wa aina yoyote ambapo yakikaangwa yanakuwa kama pamba, pia mayai hayo ni madogo kwa size kuliko yai la kawaida.

No comments: