MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 30 August 2012

MADEREVA WA HACE WALIOKUWA WAMEGOMA SASA WAMEREJEA KAZINI BAADA YA MKUU WA WILAYA KUWASIHI WAREJEA HUKU HOJA YAO ITATULIWA BAADAYE

 Mkuu huyo wa Wilaya Bi Zipora Pangani aliambata na Meya wa Manispaa na kuwatahadharisha kuzua makubwa zaidi kwani wanapogoma hawawagomei viongozi wa manispaa bali usumbufu unaamia kwa abiria wanaotumia usafiri wao.
 Awali madereva hao waligoma kutokana na uhitaji wao wa kuondolewa kwa tozo la shilingi elfu mbili ambapo wanalazimika kulipa kila wanapoingia kwenye stendi ya Bukoba badala yake wangelipia mara moja tu kwa siku kwani kiasi hicho cha elfu mbili kila wanapoingiza gari ni kikubwa mno.


No comments: