
Awali madereva hao waligoma kutokana na uhitaji wao wa kuondolewa kwa tozo la shilingi elfu mbili ambapo wanalazimika kulipa kila wanapoingia kwenye stendi ya Bukoba badala yake wangelipia mara moja tu kwa siku kwani kiasi hicho cha elfu mbili kila wanapoingiza gari ni kikubwa mno.
No comments:
Post a Comment