
Hata hivyo baadhi ya viongozi waliozungumza nyuma ya Kamera wamesema kuwa hiulo ni kosa kwani uwanja huo hauna tatizo lolote hivyo kwa mujibu wa TFF ulitakiwa kutumika kwa michezo hiyo, hivyo kutoanza kufanyika kwa michezo hiyo leo kunaweza kusababisha kutofanyika kwa Ligi ya TTF wilaya ya Bukoa.
No comments:
Post a Comment